Sababu ya mbegu kuwa na umuhimu katika afya ya mwili ni kutokana na kiwango kikubwa cha virutubisho vilivyomo ndani yake. Mbegu hizi zina kiwango kikubwa cha omega- three, Vitamini,proteini na madini. Zaidi ya kuwa chakula bora kwa mwili wako, shayiri pia ni kifaa kizuri katika kuimarisa ngozi yako. Unahitaji limao na chumvi katika kuufanya mcha